Hukumu yatoka kwa polisi 11 Toka Afghanistan.......

Kwa mara ya kwanza Mahakama nchini Afghanistan imewahukumu polisi 11 kwenda jela mwaka mmoja kwa kushindwa kumlinda mwanamke ambaye aliuwawa na kundi la watu mjini Kabul kwa kuhusishwa kwa makosa kwa kukufuru. Watu wanne pia kuhukumiwa adhabu ya kifo na wengine wanane wakahukumiwa kifungo cha miaka 16 jela mapema mwezi huu kwa mauaji ya mwanamke huyo Farkhunda mwenye umri wa miaka 27. Unasemaje kuhusu hukumu hiyo?

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Miamala ya Benk na Simu,Imezaa matunda.

Matangazo ya vyakula mitandaoni huponza watoto