Majina
ya wasanii watakaowania tuzo za BET mwaka huu yametoka, Diamond
alikuwepo mwaka jana vipi mwaka huu? nani ameongoza kutajwa mara
nyingi?.Bofya hapa kwa taarifa zaidi http://bit.ly/1FvS3Ko
31 AGOSTI 2016 Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango SHERIA ya Fedha ya Mwaka 2016 iliyopitishwa kuhusu utozaji ushuru kwenye ada ya kutuma na kupokea fedha kwenye miamala ya benki na simu, imeanza kuzaa matunda kutokana na ongezeko la mapato lililoanza kushuhudiwa kutoka kampuni za simu. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu iliyokutana jana na Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA), iliambiwa kutokana na sheria hiyo iliyopitishwa Bunge baada ya kupitisha bajeti ya mwaka huu, mwezi uliopita serikali imeshuhudia ongezeko kubwa la mapato, yaliyotolewa na kampuni za simu. Taarifa hiyo ilitolewa jana kwenye Kamati ya Kudumu ya Miundombinu, imeonesha Kampuni ya Vodacom ilikuwa ikitoa kodi ya ushuru wa bidhaa kwa fedha zinazotumwa kwa wastani wa Sh milioni 360 kwa mwezi, lakini baada ya mabadiliko ya sheria, Julai pekee mwaka huu imelipa Sh bilioni 1.9. Mwakilishi wa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato (TRA), Godwin Barongo aliiambia kamati hiyo kuwa kwa upande wa Kampuni ya Tigo, wal...
Mitandao ya kijamii huenda ikachochea watoto kula vyakula visivyofaa, utafiti umeeleza Umegundua kuwa watoto wanaojihusisha sana na kutazama mitandao hii wakiona watu wanatumia vyakula vyenye sukari na mafuta kwa wingi nao huiga kwa kula vyakula vyenye asilimia 26% ya vyakula hivyo zaidi kuliko watoto wasiofuatilia mitandao. Utafiti, uliowasilishwa kwenye Bunge la Ulaya kuhusu unene, ulichambua kuhusu muitikio wa watoto kutokana na picha za mitandaoni. Matokeo ya utafiti huoyamekuja baada ya kuwepo kwa wito wa kuweka sheria kali dhidi ya matangazo ya vyakula visivyo bora Nyota wa kwenye mitandao ya kijamii walioainishwa kwenye utafiti ni pamoja na Zoella, mwenye wafuasi milioni 10.9 kwenye mtandao wa Instagram na Alfie Deyes, mwenye wafuasi milioni 4.6. Watoto 176 waligawanywa kwenye makundi matatu na kuonyeshwa picha za watu maarufu wakitangaza kuhusu vyakula visivyo na afya, vyakula bora, na bidhaa zisizo chakula. walionyeshwa vyakula vilivyo bora na visivyo bora ili k...
Waziri wa Fedha alia na wafanyabiashara wadanganyifu http://www.mwananchi.co.tz/habari/biashara/Waziri-wa-Fedha-alia-na-wafanyabiashara-wadanganyifu/1597570-3361464-12n89t4z/index.html
Maoni