PIGO KWA WATANZANIA,AJALI NZITO NA YA KUSIKITISHA.

Hapo chini.
Ni picha ambazo zikionesha ajali ya Gari aina ya Costa DSM inayofanya safali zake GMboto kuelekea Ubungo,jinsi ilivyo halibika baada ya kugongana na Gari kubwa ya mizigo.Ajali hiyo imesababisha vifo vya abilia wengi sana ambao walikuwemo kwenye DSM hiyo...ikiwa inatokea Gmboto kuelekea ubungo.
               R.I.P kwa wrote waliopoteza maisha.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Miamala ya Benk na Simu,Imezaa matunda.

Matangazo ya vyakula mitandaoni huponza watoto