Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2015

Wakimbizi Kigoma.......

Picha
Wizara ya Afya imetangaza kuwepo mlipuko wa kipindupindu kambi ya wakimbizi Nyarugusu Kigoma, ambapo mpaka sasa watu 11 wamefariki.

Kuelekea Uchaguzi mkuu Nchini Tanzania...

Picha
KAULI YA TUNDU LISSU KUHUSU DK. SLAA KUGOMBEA URAIS UKAWA LAPINGWA Moja ya vyama shiriki katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), NCCR-Mageuzi kimepinga kauli iliyotolewa njini Moshi na Mwanasheria wa CHADEMA, Tundu Lissu alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara kwamba Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk Willibrod Slaa ndiye atakayekuwa mgombea urais kupitia UKAWA. Mkuu wa Idara ya Kampeni na Uchaguzi wa NCCR-Mageuzi, Faustine Sungura amesema kuwa ni makosa kudhani kwamba CHADEMA n ... See More

Huko Marekani...

Picha
9 wauawa katika shambulio Marekani http://bbc.in/1FsAnzg 9 wauawa katika shambulio Marekani Polisi nchini Marekani wamesema kuwa watu tisa wameuawa katika shambulio lililotekelezwa na watu wenye silaha na pikipiki. bbc.in

Kwa Nkurunzinza..........bofya hapa kupata zaidi htt://bbc.in/1FtnSDO

Picha
Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi http://bbc.in/1FtnSDO Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura bbc.in

Diamond

Picha
Unasema nini kuhusu huyu Super Star wa bongo

EPL....Hiyo

Picha
Chelsea manager Jose Mourinho expressed his frustration after Cesc Fabregas was sent off in bizarre fashion as the champions were defeated 3-0 at West Bromwich Albion. Share your views... http://bit.ly/1PSUrum Mou outraged by Fabregas red card Chelsea manager Jose Mourinho expressed his frustration after Cesc Fabregas was sent off in bizarre fashion as the champions were defeated 3-0 at West Bromwich Albion. supersport.com

Tanzania na ADF....JUA ZAIDI

Picha
Tanzania yamshikilia muasi wa ADF http://bbc.in/1LfXWKI Tanzania yamshikilia muasi wa ADF Polisi nchini Tanzania wamethibitisha kuendelea kumshikilia Jamil Mukulu ambaye ni kiongozi wa waasi wa ADF wa Uganda. bbc.in

Tuzo BET MWAKA huu

Picha
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za BET mwaka huu yametoka, Diamond alikuwepo mwaka jana vipi mwaka huu? nani ameongoza kutajwa mara nyingi?.Bofya hapa kwa taarifa zaidi http://bit.ly/1FvS3Ko

Hukumu yatoka kwa polisi 11 Toka Afghanistan.......

Picha
Kwa mara ya kwanza Mahakama nchini Afghanistan imewahukumu polisi 11 kwenda jela mwaka mmoja kwa kushindwa kumlinda mwanamke ambaye aliuwawa na kundi la watu mjini Kabul kwa kuhusishwa kwa makosa kwa kukufuru. Watu wanne pia kuhukumiwa adhabu ya kifo na wengine wanane wakahukumiwa kifungo cha miaka 16 jela mapema mwezi huu kwa mauaji ya mwanamke huyo Farkhunda mwenye umri wa miaka 27. Unasemaje kuhusu hukumu hiyo?

Majambazi wamekamatwa baada ya kupora fedha Sinza Dar.

-Walivamia Benki ya NMB iliyopo Sinza - Mori (Big Bon) na kupiga risasi ovyo hewani. Zaidi, Soma=> http://goo.gl/wS1da

Rushwa na uchaguzi...

Picha
Niwakati mwingine wa viongozi kujitakia nafasi za uongozi kwa kutumia rushw  kipind cha uchaguzi hapa nchini Tanzania...

Wanawake toka Rombo

Picha
Kukodi wanaume....

Toka Rombo

Picha

Afukuzwa kazi kwa kumtumia sms Raisi.......@Mwanainch Comunnication.

Mhasibu wa hospitali ya rufaa KCMC,Paul Mhumba amesimamishwa kazi kwa kumtumia ujumbe wa simu ya mkononi (sms) Raisi wa Jamuhuli ya Muhungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete.....

Mpya toka Rombo

Wanawake kutoka rombo wakodi wanaume...Sababu kukithiri kwa ulevi kwa upandande wa wanaume.

Mvua ambazo zilizo kuwa zikiendelea kunyesha da zaisha........Watoto wavigogo BOT wafoji vyeti sasa ni shider